Homa ya Bonde la Ufa: Kuzuia na kudhibiti

Abstract

Homa ya Bonde la Ufa ni ugonjwa unaosababishwa na virusi. Adhari zake kwa mifugo ni kutupa au kuavya mimba kwa wingi na vifo vya watoto wa mifugo pindi wanapozaliwa.

Citation

ILRI. 2018. Homa ya Bonde la Ufa: Kuzuia na kudhibiti. Video. Nairobi, Kenya: ILRI.

Authors

  • International Livestock Research Institute